Boko Haram waua watu 20 Nigeriaboko haram
Watu 20 wameuawa mashariki mwa Nigeria kufuatia mashambulizi mapya yanayoendeshwa na kundi la Boko Haram katika eneo hilo.
Eneo la kwaJaffa, katika jimbo la Borno, lilishambuliwa Jumapili jioni na washambulizi hao …Read More
Ukatili: Mume amlipua mkewe kwa petroli
Mwanamke mmoja, Kudra Janja mkazi wa Kijiji cha Bwai, wilayani Butiama mkoani Mara amelipuliwa kwa petroli na mumewe, Simon Otieno kwa kile kilichodaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi.Katika tukio hilo pia mtoto a…Read More
Makaburi ya halaiki yafukuliwaMakaburi ya halaiki yafukuliwa Tikrit
Wataalamu wa kuchunguza maiti, wameanza kuyafukua zaidi ya makaburi 12 ya halaiki, katika mji wa Tikrit, nchini Iraq.
Hatua hiyo imekuja siku kadhaa baada ya wapiganaji wa Islamic State, …Read More
Pitio la Magazeti ya leo April 07/2015
Habari za leo hii mpenzi msomaji na mdau wa ubalozini.blogspot.com. Leo ni jumanne ya 07 April 2015, tunakupa fursa ya kujua japo kwa ufupi kilichoandikwa katika magazeti ya leo. Ukiitaji kujua kwa undani pitia katika meza z…Read More
Ugaidi:Tanzania yajiweka katika tahadhari Maafisa wa polisi
Waziri wa Mambo ya ndani nchini Tanzania amesema nchi hio ipo katika tahadhari ya juu kufuatia taarifa za vyombo vya habari nchini humo kwamba, kuna uwezekano wa shambilio la ugaidi katika miji ya Dar es sal…Read More
Mini Power Roulette ni ushindi
-
Ukiwa na buku tu Meridianbet kasino ya mtandaoni inakuongezea mara dufu
Zaidi, kupitia sloti...
The post Mini Power Roulette ni ushindi first appeared ...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment