May 02, 2015

 
Zari na Diamond wakiingia ukumbini

 Diamond akitoa burudani
 Maliki wa mipasho nchini bi Hadija Kopa naye alikuwepo
 
Swahiba mkubwa wa Diamond Shetta akifanya yake
  
Diamond na Nay 
 
Mashabiki nao hawakujutia kabisa



 
  
 
Kwa upande wa usalama nako palikuwa hapatoshi 

 WCB II 
 DSC_3307 
Boss wa Clouds, Ruge Mutahaba wako na Eric Omondi, comedian toka Kenya.
  
Awa jamaa walikuja na Bango kabisa, soma kilichoandikwa

1- Tiketi ziliisha mapema kabisa watu bila kujali gharama walijitokeza mapema kununua tiketi

2- Show hii ilweza kushuhudiwa na dunia nzima kwa mtindo wa kununua code kisha ukafwatilia show kama ulikuwa ukumbini

3-Show hii ni kwa mara ya kwanza imefanyika Tanzania
 Hivyo ndivyo mambo yalivyokwenda ndani ya Mlimani City usiku wa jana kuamkia leo katika Zari All white party 2015 ikiwa ni kwa mara ya kwanza kufanyika ndani ya ardhi ya JK.

Related Posts:

  • PAPA AWASILI UFILIPINO Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani,Mtakatifu Francis, amewasili nchini Ufilipino, nchi yenye Wakatoliki wengi zaidi barani Asia, huku ulinzi mkali ukiwa umeimarishwa. Maelfu ya Wafilipino wamejipanga katika misur… Read More
  • RONALDO DE LIMA KUREJEA DIMBANI Ronaldo de Lima anavyoonekana sasa. Mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa ya brazil Ronaldo Luís Nazário de Lima anatarajia kurejea tena dimbani. De lima ameahidi kupunguza… Read More
  • MARKEL: TUTAWALINDA WAYAHUDI NA WAISLA,U UJERUMANI Kansela Angela Merkel   Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel ameahidi kuwalinda Wayahudi na Waislamu wanaoishi nchini Ujerumani dhidi ya ubaguzi. Amesema demokrasia ndiyo njia bora ya kupambana na machafuko yanayo… Read More
  • HUU NDIYO MPANGO MPYA WA THT 2015            Imezoeleka Tanzania House of Tallent (THT) imekua ikitoa wasanii peke yake ambao asilimia kubwa ya wasanii wengi wa Bongo Fleva wamepitia kwenye mikono ya Nyum… Read More
  • WATANZANIA WENGI WAFUNGWA HONG KONG Kasisi mmoja raia wa Australia amefichua na kuthibitisha kuwa kuna idadi kubwa ya wafungwa wenye asili ya Afrika katika magereza ya Hong Kong, wengi wao wakiwa ni kutoka Tanzania. Kasisi huyo John Wortherspoon ambaye … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE