May 02, 2015

 
Zari na Diamond wakiingia ukumbini

 Diamond akitoa burudani
 Maliki wa mipasho nchini bi Hadija Kopa naye alikuwepo
 
Swahiba mkubwa wa Diamond Shetta akifanya yake
  
Diamond na Nay 
 
Mashabiki nao hawakujutia kabisa



 
  
 
Kwa upande wa usalama nako palikuwa hapatoshi 

 WCB II 
 DSC_3307 
Boss wa Clouds, Ruge Mutahaba wako na Eric Omondi, comedian toka Kenya.
  
Awa jamaa walikuja na Bango kabisa, soma kilichoandikwa

1- Tiketi ziliisha mapema kabisa watu bila kujali gharama walijitokeza mapema kununua tiketi

2- Show hii ilweza kushuhudiwa na dunia nzima kwa mtindo wa kununua code kisha ukafwatilia show kama ulikuwa ukumbini

3-Show hii ni kwa mara ya kwanza imefanyika Tanzania
 Hivyo ndivyo mambo yalivyokwenda ndani ya Mlimani City usiku wa jana kuamkia leo katika Zari All white party 2015 ikiwa ni kwa mara ya kwanza kufanyika ndani ya ardhi ya JK.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE