June 12, 2015

 

Mperampera ni moja ya ngoma zinazofanya vizuri sana kwa sasa katika uwannja wa Hip Hop kwa Tanzania. Hii ngoma imefanywa na msanii chipukizi toka mkoani Morogoro anaitwa Mash J akimshirikisha mkali mwingine Stamina pia toka Moro. Audio imefanyika kwanza Records chini ya Vennt Skillz na Video ikafanyika kwetu Studio chini ya Msafiri
Kama bado hujaiskia pakua hapa chini

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE