June 10, 2015

ben3 
 Staa wa Bongo Fleva anaye fanya vizuri kwa sasa na ngoma yake ya ‘Sophia’ Ben Pol amefunguka kuwa atafunga ndoa ya kimila kwenye harusi yake.
Akipiga stori na Clouds Fm hivi karibuni,alisema kuwa atafunga ndoa ya kimila ya kabila lake la Kigogo atakapofunga ndoa na mchumba wake aliyedumu naye kwa muda mrefu.
‘’Napenda sana mila hasa za kabila letu la Kigogo ndiyo maana mipango yangu ni kufunga ndoa ya kimila na kila kitu kitakuwa cha kimila kuanzia mavazi,keki na chakula,’’alisema Ben Pol

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE