June 12, 2015

Hii ni maalum kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, unaotarajiwa kufanyika october  mwka huu.Kupitia blog hii tumeamua kuwaletea matukio mbalimbali yanayoendana na chaguzi mbalimbali zilizopita na mitazamo ya wananchi juu ya uchaguzi wa mwka huu. Leo hii tumewaletea hotuba ya Mwalim J.K Nyerere ya mwka 1995 aliyoitoa katika mkutano mkuu wa CCM.Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM, watakwenda kuyatafuta nje ya CCM. Haya ni maneno ya Mwalim Nyerere katika Hotuba hii.
                 

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE