‘Mwasiti ni msanii mzuri sana na pia ni balozi lakini anapokaa muda
mrefu bila kutoa ngoma anakuwa hawatendei haki mashabiki wake,’alisema
Babu Tale.
Akijibu sababu ya kuwa kimya Mwasiti alisema kuwa ukimya wake alikuwa
akifanya mambo mengine nje ya muziki lakini anatarajia kuachia ngoma
mapya mwezi huu ulitwao Sema Nawe ambao ameufanya katika studio za Swich
Records chini ya producer Lufa.
‘’Nategemea kuwapa zawadi mashabiki wangu mwezi huu nitaachia ngoma
yangu mpya,na pia namshukuru sana Babu Tale kwa kunipa moyo kwani huwa
ananisema kila wakati nitoe ngoma,’alisema Mwasiti.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment