June 12, 2015

mzee Yusuf
Msanii wa taarabu na CEO wa bendi ya Jahazi Modern Taarab Mzee Yusuf anategemea kutangaza nia kesho Jumamosi 13 Juni 2015, Huu ukiwa ni mwaka wa uchaguzi, tumeshuhudia makada mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi wakitangaza nia hadi kufikia 28. Swali ni kweli anatangaza nia au stunt tu?

Anaweza akawa ana wimbo unaitwa Natangaza nia, hii itakuwa ni surprise kama ni ukweli anatangaza nia kweli au ni wimbo.

Kiingilio ni shilingi 8,000/=TSHS, kuanzia saa 2 usiku katika viwanja wa burudani Dar Live Mbagala Zakhem jijini Dar es salaam.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE