Tume ya Taifa ya Uchaguzi inatarajia kuweka Wazi Daftari la Awali la Wapiga Kura katika Mikoa yote ya Unguja na Pemba kuanzia tarehe 03/09/2015 hadi tarehe 07/09/2015 ili Umma uweze kupata nafasi ya kulikagua Daftari la Awali na kutoa taarifa za kufanyiwa marekebisho pale inapostahili.
WANANCHI WATAKIWA KUFAHAMU GHARAMA ZA MKOPO KABLA YA KUKOPA
-
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa
PSSSF, Bw. Paul Kijazi, akisalimiana na Afisa Mkuu wa Idara ya Uendelezaji
wa Sek...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment