Mwigizaji Wa filamu za Kibongo, Irene Uwoya ameibuka mshindi kwenye
kinyang'anyiro cha kura za maoni ubunge viti maalum Vijana(CCM) Tabora. Uwoya alipata kura 38 sawa na asilimia 95% huku mshindi wa pili akipata kura 34.
Polisi wawili wauawa kwa guruneti
Polisi wawili wameuawa katika machafuko yanayoendelea nchini Burundi
katika mwendelezo wa maandamano ya wapinzani ya kupinga hatua ya Rais wa
nchi hiyo Pierre Nkurunziza ya kuamua kugombea katika uchaguzi mkuu
uj…Read More
Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa
-
Je unajua kuwa unaweza kumaliza Wikendi yako kirahisi sana ukiwa na
Meridianbet kwani ODDS...
The post Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa first app...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment