December 12, 2015

 

Lile tamasha limaloamdaliwa na kipindi cha XXL cha Clouds Fm lijulikanalo kama After Skul Bash linaendelea muda huu pale Ascape one Mikocheni jiji Dar Es Salaam jilani na kilipo kituo cha Clouds Fm Radio.
   Kuna vitu vingi vinaendelea pale  katika shangwe hizi za kila mwaka. Una hakli ya kujua kuna kipi kinafanyaika. Haya ni baadhi ya matukio machache kati ya mengi yanayoendelea
 
Benpol akiwapeleka raia #AfterSkulBashDodoma kwa sauti yake amazing huku shangwe kibao zikihusika
  
Kutoka #BackStage ya #AfterSkulBash@adamchomvu @ruby_na_yule @bdozen @billnass

Kila mtu yuko happy na burudani tofauti #Karate#Music #Games  


0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE