Matayarisho yakiendelea kwenye fukwe za Escape 1 kwa ajili ya kusema #Ahsante2015 na kuukaribisha mwaka 2016, njoo tusherekehe pamoja kwa mtonyo wa 10,000 tu, huku tukipata burudani kibao kutoka Wanamuziki wa Bongo flava na kufyatua mafataki, ukiburudishwa na Ruby, Kassim, Alice, Baraka da prince, Madee, Mr blue, Chemical, Stosh, Mo Music, Malaika, Shilole, Galaxy, Maua Sama , Maeda, Sulii nk.
JACKLINE ISARO AANZA RASMI MAJUKUMU KUTUMIKIA NGOKOLO...."SITAKUWA DIWANI
WA MANENO"
-
Diwani wa Kata ya Ngokolo, Jackline Isaro, ameanza rasmi majukumu yake
baada ya kula kiapo cha udiwani leo Desemba 4, 2025, akiahidi kusimama
imara katika...
57 minutes ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment