Matayarisho yakiendelea kwenye fukwe za Escape 1 kwa ajili ya kusema #Ahsante2015 na kuukaribisha mwaka 2016, njoo tusherekehe pamoja kwa mtonyo wa 10,000 tu, huku tukipata burudani kibao kutoka Wanamuziki wa Bongo flava na kufyatua mafataki, ukiburudishwa na Ruby, Kassim, Alice, Baraka da prince, Madee, Mr blue, Chemical, Stosh, Mo Music, Malaika, Shilole, Galaxy, Maua Sama , Maeda, Sulii nk.
SERIKALI YAENDELEA KUIMARISHA UONGOZI NA USIMAMIZI WA ELIMU KUPITIA MAFUNZO
KWA VIONGOZI WA SHULE
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo
(katikati) akiwa naMwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa
El...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment