Kivuko cha mto Kilombero kimezama kikiwa na idadi kubwa ya watu na mizigo. Idadi ya waliookolewa mpaka sasa yafikia 11. Taarifa kamili tutawaletea
SPIKA ZUNGU AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA EU
-
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu,
amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya Mabalozi wa Nchi Wanachama wa
Umo...
10 minutes ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment