January 09, 2016

Msanii Diamond Platnumz amekuwa akitajwa mara nyingi kuwania tuzo mbalimbali na kusababishwa kuitwa jina la ‘Mond Bin Awards’, ametajwa kuwania tuzo za ‘MAYA’ (MOREKLUE ALL YOUTH AWRDS 2016) za nchini Nigeria, ikiwa ndo nomination yake ya kufungulia mwaka kwa mwaka huu 2016.
Ambapo Diamond anawania katika kipengele cha ‘African Music Act’ akiwa pamoja na wasanii wengine wenye majina makubwa Afrika akiwemo Wizkid, Sarkodie, Fuse ODG, Davido, AKA, Olamide na Casper Nyovest.
Tuzo hizo za MAYA zitatolewa Januari 31, 2016 jijini Lagos, Nigeria.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE