January 09, 2016

Msanii Diamond Platnumz amekuwa akitajwa mara nyingi kuwania tuzo mbalimbali na kusababishwa kuitwa jina la ‘Mond Bin Awards’, ametajwa kuwania tuzo za ‘MAYA’ (MOREKLUE ALL YOUTH AWRDS 2016) za nchini Nigeria, ikiwa ndo nomination yake ya kufungulia mwaka kwa mwaka huu 2016.
Ambapo Diamond anawania katika kipengele cha ‘African Music Act’ akiwa pamoja na wasanii wengine wenye majina makubwa Afrika akiwemo Wizkid, Sarkodie, Fuse ODG, Davido, AKA, Olamide na Casper Nyovest.
Tuzo hizo za MAYA zitatolewa Januari 31, 2016 jijini Lagos, Nigeria.

Related Posts:

  • FROFILE WIKI HII/ YUPO DAVIDO Davido (amezaliwa David Adeleke) ni maonyesho na kurekodi msanii na Pia mtayarishaji muziki. Davido alizaliwa katika Atlanta GA, USA juu ya Novemba 21 na Mheshimiwa Na Bi Adeleke na walihudhuria Uingereza International Sch… Read More
  • TAARIFA KUHUSU AJALI YA BAHATI BUKUKU   Muimbaji maarufu nchini wa nyimbo za injili nchini,Bahati Bukuku (40) amepata ajali akiwa katika gari alilokuwa akisafiria kuacha njia na kugonga gema, baada ya kugongwa na gari lingine linalosemekana kuwa … Read More
  • BRAND NEW SONG/ NIPE NAFASI - IMMA POISON ft STAMINA KABWELA (produced by vennt Skillz) Ukilinganisha umri wake na kile anachokiandika, ni vitu viwili tofauti. Uwezo mkubwa ma mashairi unaowashangaza wengi sana waliopata bahati ya kuuskia wimbo wake wa Nipe nafasi. Anaitwa Immanuel au Imma poison ndiyo jina … Read More
  • SWALA YA IDDI KITAIFA KUSWALIWA DAR    Shekhe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake. Shekhe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum ametangaza Swala ya Sikukuu ya Idd El Fitri in… Read More
  • MOROGORO KUZIZIMA SIKU YA EIDD PILI Ni ndani ya Mji wa Morogoro utakapozizima kwa masaa kufuatia bonanza kubwa la Bongo fleva litakalofanyika siku ya Eid Pili ndani ya ukumbi wa mabo Club, Dj steve B, Zombi Prezdaa, Kareem Omari KO watahusika huku burudani … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE