Habari zilizotufikia hivi punde tu zinasema kwamba askari 3 wamefariki dunia huku wengine 3 wawili wakiwa majeruhi na hali zao ni mbaya baada ya kupata ajali mbaya iliyosababishwa na tairi la gari yao iliyokuwa katika msafara wa viongozi wa CCM mkoani Singida kupasuka na kupinduka katika eneo la Mkiwa, wilayani Ikungi.
Mwenyezi Mungu apokee roho zao hao MAREHEMU na awape nafuu ya haraka MAJERUHI.
Source: jamii forum
SERIKALI YAJA NA MKAKATI WA KUWAWEZESHA WAZALISHAJI CHUMVI NCHINI
-
-Serikali kupunguza ada ya kodi ya pango kwa mwaka kwa Leseni ya chumvi
-Rais Samia apongezwa kwa kiwanda cha kusafisha chumvi Lindi
-Wazalishaji wa chum...
13 minutes ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment