
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akifurahia jambo wakati alipokuwa akizungumza na Rais Mstaafu wa awamu
ya tatu Mheshimiwa Benjamin Wiliam Mkapa Ikulu jijini Dar es Salaam
Februari 25,2016

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akipokea barua kutoka Genarali Omar Embalo mjumbe Maalum wa Rais wa
Guinea Bissau Jose Mario Vaz.

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akimshukuru Mjumbe Maalum wa Rais wa Guinea Bissau mara baada ya kupokea
barua ya Salamu na pongezi.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment