Msanii mkongwe Mr Nice amesema ameshindwa kuitoa video yake ya wimbo Kioo kutokana na kuwa chini ya kiwango hali ambayo amedai ingemshushia heshima yake.
Akizungumza na Bongo5 Alhamisi hii, Mr Nice amesema tayari ameshashoot kazi mpya ambayo itatoka ikikamilika.
“Video ya Kioo ilikuwa tayari sema tumeshindwa kuitoa mimi na management yangu kutokana na kuwa chini ya kiwango. Kwa hiyo tukashauriana na watu wangu wa karibu tukaona hii sio kazi ya kwenda kwa jamii. Hivi sasa tayari tumeshoot nyingine kwa hiyo mashabiki wakae mkao wa kula,” alisema Mr Nice. Pia Mr Nice alisema hayupo kwa ajili ya kushinda na wasanii wengine kwani yeye tayari alishafanya vitu vikubwa kwa wakati wake.
February 25, 2016
11:58 PM
Machaku
No comments
Related Posts:
Habari: Basi la Mohammed Classic lapata ajali Kagera Azama TV wametupatia habari hii Habari kutoka mkoani Kagera zinasema Basi la Mohammed Clasic linalotoka Bukoba kwenda Arusha limegonga ng'ombe zaidi ya 30 katika pori la Burigi mkoani Kagera.Katika ajali hiy… Read More
KAMPALA:Bobi Wine akamatwa na Polisi Wibsite ya Newvision imeripoti: Matukio ya machafuko huko Kasangati asubuhi ya leobaada ya polisi kuzuia mkutano wa kampeni na mgombea Robert Kyagulanyi, aliyejulikana kama Bobi Wine, na kumtia kizuizin… Read More
Je sherehe za Eid hutangazwa vipi? Waislamu hufuata kalenda inayoambatana na mwezi. Kukamilika kwa mwezi mtukufu wa Ramadan ni likizo kuu ya kidini ya Eid al-Fitr, ambapo waislamu kote duniani h… Read More
Israel yawataka Watanzania kutembelea nchi hiyo kwa gharama ya chini Serikali ya Israel imewaalika mahujaji wa Tanzania kutembelea miji yake mitakatifu kwa ada ya kiwango cha chini. Kulingana na mkurugenzi wa bodi ya Utalii nchini Tanzania, Devota Madachi ambaye pamoja na katibu wa kudum… Read More
Kurasa za Magazetini leo Jumanne ya 27 June 2017 Karibu mpenzi msomaji katika kurasa za Magazetini leo hii. Kurasa za mbele na za nyuma tumekuwekea hapa waweza kuzisoma sasa … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment