February 25, 2016

                          
Msanii mkongwe Mr Nice amesema ameshindwa kuitoa video yake ya wimbo Kioo kutokana na kuwa chini ya kiwango hali ambayo amedai ingemshushia heshima yake.
Akizungumza na Bongo5 Alhamisi hii, Mr Nice amesema tayari ameshashoot kazi mpya ambayo itatoka ikikamilika.
“Video ya Kioo ilikuwa tayari sema tumeshindwa kuitoa mimi na management yangu kutokana na kuwa chini ya kiwango. Kwa hiyo tukashauriana na watu wangu wa karibu tukaona hii sio kazi ya kwenda kwa jamii. Hivi sasa tayari tumeshoot nyingine kwa hiyo mashabiki wakae mkao wa kula,” alisema Mr Nice. Pia Mr Nice alisema hayupo kwa ajili ya kushinda na wasanii wengine kwani yeye tayari alishafanya vitu vikubwa kwa wakati wake.

Related Posts:

  • Kampuni ya Pepsi yafutiwa leseni Waziri wa Ajira, Kazi, Sera na Bunge, Jenista Mhagama amefuta leseni ya wakala wa ajira wa Kampuni ya SBC Tanzania, watengenezaji na wasambazaji wa vinywaji vya Pepsi jijini Mwanza baada kukiuka Sheria ya ajira na uhusiano k… Read More
  • Cheki pichaz za Party ya Samatta na zawadi aliyopewa na Serikali kwa kutwaa tuzo Zawadi ya Samatta kwa Waziri mkuu ikipokelewa na waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi Headlines za Mbwana Samatta kushinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wa n… Read More
  • List ya washindi wa tuzo zinazohusiana na soka Duniani January 11 ndio ilikuwa siku ya shirikisho la soka ulimwenguni FIFAkutangaza washindi wa tuzo kadhaa ikiwemo tuzo ya mchezaji bora wa Dunia ambayo ilikuwa inawaniwa naLionel Messi, Neymar na Cristia… Read More
  • Waisrael wanne washtakiwa kwa mauaji Miongoni mwa Waisrael wanaokamatwa kwa kuchukua sheria mkononi Waisrael wanne wameshtakiwa kwa kuhusika na kumpiga mhamiaji kutoka Eritrea, ambaye alidhaniwa kuwa mpiganaji wa kiarabu. Habtom Zerhom alikuwa katika kituo cha b… Read More
  • Ronaldo amtamani Messi   Masaa machache kabla ya tuzo ya mwanasoka bora wa dunia kwa mwaka 2015 haijapata mmiliki wake, wachezaji watatu waliowania tuzo hiyo walikuwa na mkutano na waandishi wa habari. Katika mkutano huo uliofanyika muda… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE