Msanii mkongwe Mr Nice amesema ameshindwa kuitoa video yake ya wimbo Kioo kutokana na kuwa chini ya kiwango hali ambayo amedai ingemshushia heshima yake.
Akizungumza na Bongo5 Alhamisi hii, Mr Nice amesema tayari ameshashoot kazi mpya ambayo itatoka ikikamilika.
“Video ya Kioo ilikuwa tayari sema tumeshindwa kuitoa mimi na management yangu kutokana na kuwa chini ya kiwango. Kwa hiyo tukashauriana na watu wangu wa karibu tukaona hii sio kazi ya kwenda kwa jamii. Hivi sasa tayari tumeshoot nyingine kwa hiyo mashabiki wakae mkao wa kula,” alisema Mr Nice. Pia Mr Nice alisema hayupo kwa ajili ya kushinda na wasanii wengine kwani yeye tayari alishafanya vitu vikubwa kwa wakati wake.
February 25, 2016
11:58 PM
Machaku
No comments
Related Posts:
Mshambuliaji wa Kenya asajiliwa Ulaya &… Read More
Uchaguzi mkuu Uganda 09:56 Magazeti ya Uganda yameongoza na habari za uchaguzi. 07:45 Upigaji kura katika maeneo mengi umeanza, inga… Read More
Tanzania na Magazeti ya leo hii Ijumaa februari 19 ya 2016 Habari Tanzania. Tunaomba radhi kwa kuchelewa kuwaleteahabari katika magazeti ya leo hii. Hili ni kutokana na tatizo lililokuwa nje ya uwezo wetu, poleni sana kwa usumbufu uliojitokeza. Magazeti haya hapa … Read More
Lionel Messi afunga bao la 300 Katika Uwanja wa El Molinon Lionel Messi am… Read More
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi Ya Februari 18 Leo Alhamisi yaFebruari 18 2016, tunakupatia fursa ya kuyatazama magazeti ya leo hii yaliyotufikia katika chumba chetu cha habari. Makubwa ni haya … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment