February 16, 2016

                            

Mwili wa msanii wa Bongo Fleva,Michael Mhina’John Wolker’ aliyefariki dunia alfajiri ya leo katika hospitali ya taifa ya Muhimbili baada ya kulipukiwa na gesi unatarajiwa kusafirishwa kesho kuelekea kwao mkoani Tanga.

Kaka wa marehemu aitwaye Omar amezungumza na Clouds Fm,kuzungumzia mazishi ya msanii huyo

Related Posts:

  • CUF: "Tutatoa muelekeo hatma ya kisiasa Zanzibar" Naibu Katibu Mkuu wa CUF Bara, Magdalane Sakaya   Chama cha Wananchi (CUF), kimesema kinajiandaa kutoa tamko zito kuhusu hatima yake kisiasa visiwani Zanzibar. Kufuatia hatua ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguz… Read More
  • Rais Magufuli aibarikia Taifa Stars Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameitakia heri timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) katika mchezo wake dhidi ya Timu ya Taifa ya Chad, utakaofanyika katika uwanja wa Taifa Jijini Da… Read More
  • Rais Magufuli ahudhulia ibada ya Pasaka Azania KKT Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akilakiwa na Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dkt. Alex Malasusa alipowasili kwa Ibada ya… Read More
  • Afisa wa chanjo ya Polio auawa   Afisa wa idara ya afya nchini Pakistan aliyekuwa akisimamia kampeini ya kutoa chanjo ya kupambana na maradhi ya polio maeneoya vijijini karibu na mpaka na Afghanistan ameuawa kwa kupigwa risasi. Bwana Akhtar K… Read More
  • Adele ameomba msamaha baada ya shabiki mmoja kujeruhiwa    Mwanamuziki wa muziki wa Pop Adele ameomba msamaha baada ya shabiki mmoja kujeruhiwa alipoangukiwa na nyororo katika tamasha la Glasgow. Nyota huyo alikuwa anaendelea na onyesho lake katika ukumbi wa SSE Hy… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE