February 16, 2016

                            

Mwili wa msanii wa Bongo Fleva,Michael Mhina’John Wolker’ aliyefariki dunia alfajiri ya leo katika hospitali ya taifa ya Muhimbili baada ya kulipukiwa na gesi unatarajiwa kusafirishwa kesho kuelekea kwao mkoani Tanga.

Kaka wa marehemu aitwaye Omar amezungumza na Clouds Fm,kuzungumzia mazishi ya msanii huyo

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE