March 13, 2016



Mchezaji wa kimataifa toka nchini Tanzania anayecheza soka la kulipwa katika timu ya Genk nchini Ubelgiji Mbwana Samatta, leo hii nyota yake imezidi kung'aa baada ya kuifunguliia njia timu yake kwa kuipatia goli la kwanza na kuipa ushindi wa goli 4

Magoli ya KRC   Genk yalifungwa na Mbwana Samatta dakika ya 25, Balley dakika ya 39, Pozuelo dakika ya 81 na Camargo dakika ya 88, wakati goli la kufutia machozi kwa KV Oostende lilifungwa na Siani dakika ya 90.



Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE