Rais wa Marekani Barack Obama ameanza ziara ya kihistoria nchini Cuba,
akiwa ndiye rais wa kwanza wa Marekani kuzuru taifa hilo katika kipindi
cha miaka 88.
Tanzania Itasafa Sana Kuongezewa Uwakilishi CAF
Kumeanza kuzuka minong’ono mbalimbali nchini kuhusu uwakilishi wa Tanzania mwakani kwenye michuano ya klabu inayoandaliwa
na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na hii ni mara baada ya Yanga kufuzu
kwa hatua ya makundi ya m…Read More
CHADEMA wajipanga Kumng'oa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema uzito wa Rais John
Magufuli kumwajibisha Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga
kutokana na kutajwa kuhusika na Kampuni ya Lugumi inayodaiwa kulitapeli
Jeshi la …Read More
Chadema kuanza kuwasha moto Jumapili hii
-
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA), Amani
Golugwa, amesema chake, kitaanza...
The post Chadema kuanza kuwasha moto Jumapili...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment