Rais wa Marekani Barack Obama ameanza ziara ya kihistoria nchini Cuba,
akiwa ndiye rais wa kwanza wa Marekani kuzuru taifa hilo katika kipindi
cha miaka 88.
TANZANIA YASEMA M23 WALITOKA RWANDA
Waasi wa M23
Tanzania kwa mara ya Kwanza
imesema inayo uhakika kuwa waasi wa M23 walioondolewa nchini Jamuhuri ya
Kongo ni ni raia Rwanda.Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Benard
Membe am…Read More
11 WAUAWA NA BOKO HARAM
Wasichana wanaozuiliwa na Boko Haram
Taarifa kutoka mjini Buni Yadi
katika jimbo la Yobe Kaskazini mwa Nigeria, zinasema kuwa watu 2…Read More
WAZANZIBAR NI MIZIGO ASEMA MBUNGE
Kutokana na mjadala wa bajeti ya wizara ya mambo ya nje uliokuwa
unaendelea , Mbunge wa Nkasi Ndugu Ali Kessy ameporomosha matusi mazito
kwa wazanzibar kuwa ni watu wa hovyo na ambao kila mara wanalialia tu
kuwa …Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment