Millen Magese ni mwanamitindo Mtanzania ambaye amekua akifanya kazi na kuishi nchi mbalimbali duniani ikiwemo South Africa na Marekani, amesumbuliwa na tatizo ambalo limemfanya afanyiwe oparesheni mara 13 mpaka sasa, ungana nae kwenye hii video kujua zaidi
Rais Samia: Tulitumia nguvu inayostahili, walitaka kufanya mapinduzi
-
RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema walitumia nguvu
inayostahili kudhibiti vurugu za tarehe...
1 hour ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment