April 22, 2016

Wabunge wa bunge la Afrika Mashariki watembelea mjengoni Clouds Media Group.

10486430_1088965167813567_960882346570001895_n[1]

Wabunge wa bunge la Afrika Mashariki wametembelea mjengoni,Clouds Media Group kujionea shughuli mbalimbali zinavyofanyika.

12115820_1088964867813597_1550123184034959663_n[1]
ShyRose Bhanji ni mmoja ya wabunge aliyekuwepo kwenye msafara huo na kusema kuwa kwa sasa hivi kuna fursa kubwa sana hasa kwenye nchi ya Burundi ambayo ina uhaba wa walimu wa Kiswahili na kuwataka watanzania kuitumia nafasi hiyo kama fursa kwa walimu kujitokeza na kwenda nchini humo kufundisha na kuimarisha Kiswahili.

13015413_1088964954480255_2875848797090959902_n[1] 

13015531_1088964297813654_8290999476064085235_n[1] 

13015668_1088965244480226_4607928468506571848_n[1] 

13043626_1088964631146954_2292586457651407070_n[1]
13043644_1088964681146949_1626436891171898437_n[1]
13051657_1088964204480330_7314535357959353684_n[1]
13062229_1088964357813648_7852385364524852014_n[1] 

13076559_1088965281146889_4028735506851686915_n[1] 

13082494_1088964974480253_8560513687890621908_n[1] 

13083109_1088964554480295_2000931802276677589_n[1]

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE