Ripoti kadhaa zinaendelea kusanukiwa kutoka Johanesburg South
Africa, ambapo star wa Bongo Flava anaendelea kutangaza dili 7 kubwa
ambazo atazitaja ndani ya saa hizi 48. Tayari mkali huyu wa Aje amesaini kusimamiwa na kampuni ya muziki ya
Sony, ambapo mkataba wa aina yake ni kama aliosaini star wa Nigeria
Davido. Taarifa nyingine ni kwamba Ali ataonekana kwenye jarida maarufu la
mastaa Duniani The source ambalo linaheshima kubwa Marekani na atakuwa
msanii wa kwanza wa Afrika kuandikwa humo. ‘Alikiba anakuwa msanii wa kwanza wa Tanzania kusaini mkataba
na Sony World wide, ni mkataba wa miaka mitano, habari yake sio ndogo
na sasa atatokea ameandikwa na Jarida maarufu la habari za
mastaa Marekani The Source Magazine’ ‘Atakua msanii wa kwanza wa Afrika kuandikwa ndani ya
hili jarida na hii itamsaidia kujulikana zaidi sababu ni jarida
linaloaminika na linalosomwa na mamilioni ambapo kichwa cha habari
kitasomeka kuanzia ukurasa wa mbele wa jarida hili’ amesema meneja wake
Bi Seven Mosha
Chid Benz Akamatwa tena na dawa za kulevya
Jeshi la polisi
Mkoa wa Ilala, limewakamata watu saba akiwemo msanii wa muziki wa kizazi
kipya, Rashid Makwiro maarufu kama ‘Chid Benz’ kwa tuhuma za kukutwa na
dawa za kulevya aina ya Heroine.
Kamanda wa Poli…Read More
Ligi kuu bara yapata pigo, Muasisi wake afariki Dunia
Na Mahmoud Zubeiry wa Binzubeiryonline
MUASISI
wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Mzee Chabanga Hassan Dyamwale
amefariki dunia asubuhi ya leo katika hospitali ya Muhimbili, Dar es
Salaam alipokuwa amelazwa kwa…Read More
New Vide: Birthday boy fid q - Fresh
Akiwa bado anaadhimisha siku yake ya kuzaliwa leo hii, mwanamuziki Fid Q, awali aliachia audio ya wimbo wake wa Ulimi Mbili aliowashirikisha Maua sama , Hard Mad na Nuruelly, muda huu sasa ameachia video ya wimbo u…Read More
Tshitimbi asaini miaka miwili Yanga
HATIMAYE
kiungo Papy Kabamba Tshishimbi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
(DRC), leo amesaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na mabingwa wa
Tanzania, Yanga SC.
Mchezaji
huyo alikuwa nchini wiki iliyopita…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment