May 10, 2016

13129514_281332635540971_1875733816_n
Kuna uwezekano mkubwa, AY na Mwana FA wamefungua kesi ya masuala ya ukiukwaji wa haki miliki za kazi zao.

Mwanasheria maarufu nchini, Alberto Msando amepost picha Instagram akiwa kwenye mahakamu kuu ya Tanzania akiwa na rappers hao. “At the High Court of Tanzania, Dar Es Salaam. #UsijeMjini #DakikaMoja #Tigo #CopyrightsInfringement #stoppingwizi @aytanzania @mwanafa,” ameandika Msando.
Kuna uwezekano kuwa nyimbo zao Usije Mjini na Dakika Moja zikawa zimetumiwa na kampuni bila ridhaa yao. Makosa ya kukiuka haki miliki kwenye kazi za sanaa huadhibiwa zaidi kwa kwa faini.

Related Posts:

  • Kisarawe wazindua Opereheni ya Ondoa Zero   Mkuu wa Wilaya Mh:Happyness Seneda akizungumza jambo    Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani, imezindua Opereshini maalum ya kuhakikisha wilaya hiyo inakuwa ki elimu. Operesheni ondoa zero Kisarawe imezindu… Read More
  • Familia ya Lissu waitaka Polisi kushughulikia swala la Lissu   Familia ya mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, aliyejeruhiwa na watu wasiojulikana katika shambulia la kujaribu kumuua, wamelitaka jeshi la polisi kutumia ubalozi wa Tanzania nchini Kenya ili kumpata Dereva wa… Read More
  • Diamond aburutwa Mahakamani na Hamisa Mobetto Mwanamitindo Hamisa Hassan Mobetto amemfungulia kesi ya madai mzazi mwenzie, Msanii Naseeb Abdul @diamondplatnumzkwa madai ya kushindwa kumuomba radhi pamoja na kutotoa fedha za matunzo ya mtoto wao, Abdul Naseeb Juma.… Read More
  • Huu ndiyo utajiri wa Mwanamuziki AY Msanii wa Bongo Flava, Ambwene Yessaya au maarufu kama A.Y ni moja kati ya wasanii waliopata mafanikio makubwa sana kwenye soko la mziki nchini Tanzania. A.Y ambaye alianza mziki na bado yupo mpaka leo tangu miaka ya 9… Read More
  • IGP Sirro ataka mjadala wa Tundu Lissu ufungwe Mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Simon Sirro ametaka mjadala kuhusu kupigwa risasi kwa mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, ufungwe mara moja. Agizo hilo amelitoa leo akiwa ziarani jijini Mbeya wakati akizungumza… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE