Mwanamuziki wa Bongo Fleva toka mkoani Morogoro anayetamba sana kwa sasa na wimbo wake wa Angejua, Dayna Nyange mkali wao, ameizungunzia Video ya wimbo wake wa Angejua wimbo unaofanya vizuri sana kwa sasa, akifanya mahojiano na Bongo Beats ya Star TV, Dayna pia amezungumzia kuhusu Colabo yake na msanii toka mchini Uganda Cindy Sanyu na pia kufanya video zake katika studio za Kwetu Studio
Rais Samia: Tulitumia nguvu inayostahili, walitaka kufanya mapinduzi
-
RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema walitumia nguvu
inayostahili kudhibiti vurugu za tarehe...
11 minutes ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment