Muimbaji wa Kenya, Mwanaisha Abdalla maarufu kama Nyota Ndogo amefunga ndoa weekend hii.
Muimbaji huyo wa ‘Watu na Viatu’ sasa ni mke halali wa mchumba wake Henning Nielsen raia wa Denmark.
“My great day love you all
I thank Allah
#wedding
#love
#world,” ameandika.
Muimbaji mwenzake wa Kenya, Akothee amempongeza kwa kuandika:
akotheekenya Congratulations mrembo I wish you a happy life with your
family @nyota_ndogo.”
Huyo anakuwa mume wake wa pili baada ya kuachana na mume wake aliyezaa naye watoto wawili.
I thank Allah
#wedding
#love
#world,” ameandika.
Nyota Ndogo mwenye makazi yake mjini Mombasa ameshare picha hizo akiwa na mume wake kwenye Instagram.
“I love my husband Henning Nielsen
#myday
#we,” ameandika kwenye picha nyingine aliyoipost kwenye mtandao huo.
#myday
#we,” ameandika kwenye picha nyingine aliyoipost kwenye mtandao huo.
Huyo anakuwa mume wake wa pili baada ya kuachana na mume wake aliyezaa naye watoto wawili.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment