May 20, 2016


Serikali mjini kwa Zulu Natal nchini Afrika kusini imeanzisha mchakato kabambe kwa vijana kujitokeza kupima maambukizi ya virusi vya UKIMWI kwa kuwazawadia ‘Boda Boda’ wenye ujasiri wa kutimiza zoezi hilo.
Taarifa inaeleza kuwa mamlaka yenye dhamana ya kudhibiti UKIMWI nchini humo, imeanza kutoa pikipiki moja kwa kila kijana ambaye atatimiza miezi sita katika awamu mbili kwenda kucheki afya zao.
Mpaka sasa ni vijana watatu tu mjini humo, waliozawadiwa pikipiki hizo baada ya kutimiza masharti ya zoezi hilo na kwamba idadi ya wanaowasili vituoni si yakuridhisha.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE