May 11, 2016

 
 

Taarifa tulizozipata hivi punde ni zinaarifu kwamba Mchekeshaji aliyekuwa anakuja juu kwa kasi Mohammed Abdallah "KINYAMBE" amefariki dunia leo usiku huko nyumbani kwako Mbeya. Tumeelezwa kuwa msanii huyo wa filamu ambaye pia alikuwa akijulikana kwa jina la James, amefariki baada ya kuugua kwa siku kadhaa.


Tutawaletea taarifa rasmi hivi punde... 
Hizi Hapa ni baadhi ya picha zake...baada ya picha nimekuwekea Video 5 za Kinyambe enzi za uhai wake akifanya vituko vyake

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE