May 17, 2016

25
Mtandao wa Twitter unatarajia kuacha kuhesabu picha na link katika ujumbe wa maneno 140 unao andikwa na mtumiaji wa mtandao huo ili kutoa nafasi kwa ujumbe unaoandikwa kuweza kutosha.
Taariga kutoka katika mtandao wa Bloomberg zinasema kuwa mabadiliko hayo yanaweza kuanza kuonekana ndani ya wiki mbili zijazo.
Taarifa kamili kutoka kwenye kampuni hiyo bado hazijatoka ila taarifa hii imefurahiwa sana na watumiaji kwani watapata nafasi ya kujieleza zaidi.
Kwa sasa picha
Viunganishi huchukua takriban herufi 23 katika ujumbe hata baada ya kufupishwa na mtandao huo.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE