Hii ilikuwa May 13 2016 baada ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kuwasilisha Bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2016/2017 . Hotuba iliyosomwa na Waziri Nape Nnauye ambapo kiwango kilichoombwa ilikuwa ni Sh. 20,326,176,000.
Wabunge mbalimbali walipata time ya kuchangia bajeti hiyo huku kila mmoja akilenga upande aliouona yeye, hapa nimekusogezea video ya Mbunge wa Kigoma Zitto Kabwe yeye alikuwa na haya.May 15, 2016
7:55 PM
Machaku
No comments
Related Posts:
KILI MUSIC AWARD 2014 MWALI MKOLENI Dar es Salaam. Tuzo za Muziki, maarufu ‘Kilimanjaro Music Award’ zimezinduliwa rasmi jana na zitafikia kilele chake Mei 3 kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Tuzo hizo zinaratibiwa na Baraza la S… Read More
PICHA ZA SHOW YA ALLY KIBA ALIYOFANYA JIJINI MUSCAT SIKU YA WAPENDANAO Mwanamuziki anayeongoza kwa kupiga show nyingine za nje, Ally Kiba alipata kuwa gumzo tena katika jiji la Muscat baada ya kukonga nyoyo za wapendanao siku ya Valentines kwa kupiga show kaba… Read More
OMMY DIMPOZ AMPIGA KIJEMBE KIKALI DIAMOND Diamond Platnumz ali-tweet kupitia ukurasa wake wa Twitter kuhusu mambo ya mapenzi na mahusiano … In between, Ommy Dimpoz jumped in… This is too far hilarious … Ha ha ha … Ni kweli haya yanatokea??!! Check them tweets hapa… Read More
ZITTO KABWE AIDUNGUA CCM MCHAKATO WA KATIBA Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe, amewaonya wanaotaka kukwamisha mchakato wa kupata katiba mpya., kupitia ukurasa wake wa facebook Zitto ameandika Katiba ni mwafaka wa kitaifa. Kitendo cha C… Read More
YANGA WAMPELEKA MKWASA CAIRO KUWAFUATA AL-AHLY Charles Boniface Mkwasa kocha msaidizi wa Young Africans mchana wa leo ameondoka kuelekea jijini Cairo nchini Misri kwenda kushuhudia mchezo wa Fainali ya (Super Cup) Ms… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment