May 15, 2016

Hii ilikuwa May 13 2016 baada ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo  kuwasilisha  Bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2016/2017 . Hotuba iliyosomwa na Waziri Nape Nnauye ambapo kiwango kilichoombwa ilikuwa ni Sh. 20,326,176,000.
Wabunge mbalimbali walipata time ya kuchangia bajeti hiyo huku kila mmoja akilenga upande aliouona yeye, hapa nimekusogezea video ya Mbunge wa Kigoma Zitto Kabwe yeye alikuwa na haya.


                          

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE