Mke wa rais wa Marekani Michelle Obama akiambatana na watoto wake wa wali
wa kike Malia na Sasha pamoja na mama yake Marian Robinson wanaendelea
na ziara yao barani Afrika.
Baada ya kuwasili katika uanja wa ndege wa Marrakech nchini Morocco na kufanya ziara ya kushtukiza mjini Praia nchini katika kisiwa cha Cap Verd na sasa aendelea na ziara yake nchini Liberia.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa zinafahamisha ya kwamba nia na mudhumuni ya ziara hiyo ya Michelle Obama ni kwa niaba ya kampeni ya kuhimiza elimu kwa kwa watoto wa kike (Let girls learn).
Ifahamike ya kuwa mradi huo wa elimu kwa ajili ya watoto wa kike unadhaminiwa na mashirika ya USAID, Peace Corps na Millennium Challenge Corporation.
Baada ya kuwasili katika uanja wa ndege wa Marrakech nchini Morocco na kufanya ziara ya kushtukiza mjini Praia nchini katika kisiwa cha Cap Verd na sasa aendelea na ziara yake nchini Liberia.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa zinafahamisha ya kwamba nia na mudhumuni ya ziara hiyo ya Michelle Obama ni kwa niaba ya kampeni ya kuhimiza elimu kwa kwa watoto wa kike (Let girls learn).
Ifahamike ya kuwa mradi huo wa elimu kwa ajili ya watoto wa kike unadhaminiwa na mashirika ya USAID, Peace Corps na Millennium Challenge Corporation.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment