
Rais
John Pombe Magufuli leo tarehe 11 June 2016, amemteua Mhe. Mwigulu
Lameck Nchemba kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi. Mhe. Nchemba
anachukua nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa Waziri wa wizara hiyo,
Mhe. Charles Muhangwa Kitwanga ambaye uteuzi wake ulitenguliwa.
Wakati huo huo rais amemteua mbunge wa Buchosha Dkt. Charles John Tizeba kuwa Waziri wa Kilimo, Mifugo na uvuvi, nafasi iliyokua ikishikiliwa na Mhe. Nchemba.
Wateuliwa wataapishwa siku ya Jumatatu majira ya saa 3:00 asubuhi Ikulu.

Wakati huo huo rais amemteua mbunge wa Buchosha Dkt. Charles John Tizeba kuwa Waziri wa Kilimo, Mifugo na uvuvi, nafasi iliyokua ikishikiliwa na Mhe. Nchemba.
Wateuliwa wataapishwa siku ya Jumatatu majira ya saa 3:00 asubuhi Ikulu.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment