Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini Ndugu Zitto Zuberi Kabwa atashtakiwa na kufikishwa Mahakamani kwa kosa la uchochezi. Akizungumza jijini Dar Es Salaam Kamanda wa polisi wa jiji la Dar Simon Sirro amesema sasa hivi wanaendelea na upelezi wa makosa ya kichochezi aliyoyafanya Zitto Kabwe na upelelezi utakapokamilika watampeleka mahakamani
June 15, 2016
8:11 PM
Machaku
No comments
Related Posts:
Picha za Fiesta 2016 Morogoro, hiki ndicho kilichojili, Mama Ngwea atoa baraka Vanessa Mdee katisha sanaa aisee Adam Mchomvu kwenye Stage ya Morogoro Mama mzazi wa marehemu Albert Mangwea akitoa neno la shukrani kwa wasanii na waandaaji wa Fiesta 2016 katika uwanj… Read More
Dayna Nyange na hizi picha vipi tena??? Star wa muziki wa Bongo fleva nchini Tanzania Dayna Nyange ameamua kujiachia kabisa na kuonesha sehemu za mwili wake kwa kutupia picha Instagra. Dayna ameonekana kuwachanganya kabisa watu kufuatia picha ji… Read More
Kutana na Mwanamziki wa Jamaica Aliyejichora Tatoo ya Rais Magufuli Mwanamziki wa Jamaica Las Laciano aliyewahi kutamba na nyimbo kadhaa , " ikiwemo its me against jah" amejichora tatoo ya rais kutokea Africa anayemkubali , ambaye ni rais wa Tanzania Mh. Dr John Magufuli. Sa… Read More
Wema: Nilitaka Mil 75 Kuwa Salome, WCB Wakanipa Mil 50 Nikakataa Mwanadada Wema akiongea na kipindi kimoja cha redio leo mchana alipoulizwa yapi maoni yake kuhusu wimbo mpya wa Salome alisema wimbo ni mzuri sana na alitakiwa kufanya video lkn ilibidi walipe mil 75 kama gharama za ye… Read More
Amka na Magazetini Leo Jumapili ya 18 September 2016 Habari mpenzi msomaji wa ubalozini.blogspot.com. Karibu katika kurasa za Magazetini leo hii. Ikiwa leo ni 18 september 2016, Habari kubwa zilizobeba uzito ni hizi hapa &nb… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment