Baada ya kukaa kimya kwa muda sasa, muimbaji aliyewahi kutamba na wimbo ‘Masebene’ Y-Tony amerejea tena kwa kishindo na video ya wimbo wake mpya ‘Martina’ akiwa chini ya uongozi wa kampuni ya Fresh Code Entertainment. Video hii imeongozwa na Pizzo Mtema.
July 18, 2016
1:28 PM
Machaku
No comments
Baada ya kukaa kimya kwa muda sasa, muimbaji aliyewahi kutamba na wimbo ‘Masebene’ Y-Tony amerejea tena kwa kishindo na video ya wimbo wake mpya ‘Martina’ akiwa chini ya uongozi wa kampuni ya Fresh Code Entertainment. Video hii imeongozwa na Pizzo Mtema.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment