July 18, 2016


Baada ya kukaa kimya kwa muda sasa, muimbaji aliyewahi kutamba na wimbo ‘Masebene’ Y-Tony amerejea tena kwa kishindo na video ya wimbo wake mpya ‘Martina’ akiwa chini ya uongozi wa kampuni ya Fresh Code Entertainment. Video hii imeongozwa na Pizzo Mtema.


                       

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE