Baada ya kukaa kimya kwa muda sasa, muimbaji aliyewahi kutamba na wimbo ‘Masebene’ Y-Tony amerejea tena kwa kishindo na video ya wimbo wake mpya ‘Martina’ akiwa chini ya uongozi wa kampuni ya Fresh Code Entertainment. Video hii imeongozwa na Pizzo Mtema.
ODDO MWISHO AENDELEA NA ZIARA YAKE KATIKA WILAYA YA TUNDURU
-
Mwenyekiti Wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa Oddo Mwisho akizungumza na
wananchi wa Kata ya Matemanga iliyopo Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma
Mwenyekiti Wa Ch...
56 minutes ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment