July 10, 2016

Msanii wa muziki Christian Bella amefanya show ya nguvu katika show ya ‘The Black Tie’ ambayo iliandaliwa na malkia wa filamu Wema Sepetu.



Show hiyo ambayo imefanyika usiku wa Jumamosi hii katika ukumbi wa King Solomon jijini Dar es salaam, imeacha historia ya aina yake katika muziki kutokana wadau mbalimbali pamoja na mastaa wa filamu kushindana kumtuza msanii huyo. Katika show hiyo pia Bella alisindikizwa na Linex, Barnaba pamoja na Linah.

Pia mkali huyo wa masauti aliweza kuzindua CD yake ya show ya miaka 10 ya Christian Bella iliyofanyika mwezi mmoja uliyopita. 

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE