Kampuni ya Clouds Media Group ya Jijini Dar Es Salaam inayomiliki vituo vya habari vya Clouds Radio, Choice Fm, Clouds T V na Clouds Digital, imekabidhi msaada wa Shilingi Milioni kumi za Kitanzania TSH:10000000/ kwa shirika lisilo la kiserfikali la GSM foundition linalojihusisha kwa kutoa huduma ya kuwafanyia upasuaji watoto wenye ugonjwa wa Vichwa vikubwa na Mgongo wazi.
Msaada huo uliotolewa na Mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji wa Clouds Media Group Ruge Mutahaba kwa niaba ya Clouds Media Group umekabidhiwa katika mfuko wa GSM FOUNDATION ambao wanahusika na kusaidia na kusimamia kwa watoto wenye vichwa vikubwa na matatizo ya mgongo.
Rushwa ni tishio uchaguzi mkuu wa Oktoba
-
VIONGOZI kadhaa wa madhehebu ya kidini mkoani Singida, wametakiwa
kuwaonyesha wananchi umuhimu wa kuchagua...
The post Rushwa ni tishio uchaguzi mkuu w...
Majina ya Blog Zinazoanzia na Herufi I
-
*1. IMDB*
www.imdb.com
*2. IPP Media*
www.ippmedia.com
*3. Idhaa ya kiswahili DW.DE*
www.dw.de/idhaa-ya-kiswahili/s-11588
*4. Idawa Onlin...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment