July 17, 2016




                                      
Rapper Fareed Kubanda aka Fid Q, ameshinda tuzo ya video bora ya muziki kwenye tuzo za ZIFF 2016 zilizotolewa Jumamosi hii visiwani Zanzibar.
Fid ameshinda tuzo hiyo kupitia video ya wimbo wake Walk It Off.


                                   

Kwa upande wa Gabo ambaye jina lake halisi ni Salim Ahmed, ameshinda tuzo ya muigizaji bora wa kiume kupitia filamu ya Safari ya Gwalu.
Hii ni orodha nzima ya washindi wa tuzo hizo:
European African film festival award:

ZAWADI- Richard Card and David Kinyanjui- Kenya
WATATU by Nick Reding (Kenya)
DALADALA- By Salum Stika- Tanzania
Sembene Ousmane Award- (Winners of $2000 each);

A PLACE FOR MYSELF- Clementine Dusabejambo- Rwanda
MACARRAO- Iyabo Kwayana- Brazil
UGALI- THE FAMILY DINNER- Tony Koros- Kenya

BONGO MOVIES
Azam Bongo Movie Awards:
Best Actress – Godliver Gordian (Aisha)
Best Cinematographer – Freddy Feruzi (Kariakoo)
Best Editor – Momose Cheyo (Aisha)
Best Feature Film – Aisha – Producer: Amil Shivji

ComNet Bongo Movie Awards:
Best Actor – Salim Ahmed (Safari ya Gwalu)
Best Writer – Abubakar H. Guni and Devotha Mayunga (Queen of Masai)

Best Director – Chande Omar (Aisha)
Best Film in Sound – Bongo na Flava (Joseph Myinga)
ZIFF AWARDS

GOLDEN DHOW- (best Feature) WATATU by Nick Reding (Kenya
SILVER DHOW- Best Documentary- THE VALLEY OF SALT-
Salaud Morisset- Switzerland/Egypt

SILVER DHOW – Best Film From Dhow Countries- LEECHES- Payal Sethi- India
GOLDEN DHOW- (Short Film)- A PLACE FOR MYSELF by
Clementine Dusabejambo (Rwanda)

GOLDEN DHOW- ( Special Jury Prize) ME A BELGIAN, MY MOTHER A GHANAIAN by Adams Mensah (Belgium)
CHAIRMAN’S AWARD- KALUSHI- Mandlakayise Dube- South Africa
BEST MUSIC VIDEO – Walk It Off

Related Posts:

  • Picha za Wema Sepetu na Ommy Dimpoz, zilipigwa usiku wa manane    Zile picha za mahaba zilizosambaa kwenye mitandao zikimuonyesha Staa wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kitandani zimezidi kuzua utata baada ya Ommy kusema hakujua alipigwa saa ngapi kwani hak… Read More
  • UN yailaumu Tanzania kwa hali ilivyo DRC   Umoja wa mataifa imezituhumu serikali za Tanzania na Burundi kuhusiana na hali katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo. Ripoti mpya ya kundi la wataalamu wa umoja huo kuhusu Congo, imeituhumu Tanzania kwa kuwaruhu… Read More
  • Ngassa ajutia nafasi, ailalamikia Yanga   Na Richard Bakana, Dar es salaam MSHAMBULIAJI wa klabu ya Yanga na Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mrisho Ngassa, amejutia uamuzi wake wa kukataa kujiunga na El Merreikh ya Sudan akisema kuwa yalikuwa ni… Read More
  • Samsung yakiri Tv zao zinanasa sauti    Samsung imewaonya wateja wake kuhusu kutojadili mambo yao ya kibinafsi mbele ya televisheni zao Samsung imewaonya wateja wake kuhusu kutojadili mambo yao ya kibinafsi mbele ya televisheni… Read More
  • Cindy Sanyu amponda Miss Uganda live   Msanii wa muziki kutoka nchini Uganda, Cindy Sanyu ameibua mjadala mzito mtandaoni baada ya kufunguka wazi kuwa mrembo anayeshikilia taji la miss Uganda kwa sasa, Leah Kalanguka ana muonekano mbaya, na kukazia … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE