Mapema leo, Julai
18, 2016 Wakurugenzi 6 na Mameneja 6 wa NSSF walisimamishwa kazi ili
kupisha uchunguzi wa utumiaji mbaya wa madaraka katika kutoa ajira,
manunuzi na mengineyo. Hapa chini ni taarifa ya ukaguzi wa hesabu za
serikali kuonyesha namna tuhuma hizo zilivyotokea.
JACKLINE ISARO AANZA RASMI MAJUKUMU KUTUMIKIA NGOKOLO...."SITAKUWA DIWANI
WA MANENO"
-
Diwani wa Kata ya Ngokolo, Jackline Isaro, ameanza rasmi majukumu yake
baada ya kula kiapo cha udiwani leo Desemba 4, 2025, akiahidi kusimama
imara katika...
1 hour ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment