July 06, 2016

IMG_0338
Chief wa Kauzu ameendelea kuwa kivutio kwenye michuano ya Ndondo Cup kutokana na ubunifu wake katika kila mchezo ambao timu yake (Kauzu FC) inaposhuka dimbani.
Kwenye mchezo wa leo June 6, Chief alikuja uwanja wa Bandari akiwa kwenye kibanda ambacho kimenakishiwa na wadhamini wa michuano ya Ndondo.
Ikumbukwe kwamba, kila wiki kutakuwa na kikundi bora cha ushangiliani ambacho kitajishindia zawadi kabla ya ile ya zawadi ya mwisho ya kikundi bora cha ushangiliaji kwa msimu huu.
Msimu uliopita Chief alikiongoza kikundi chake kuibuka kikundi bora cha ushangiliaji na kujishindia shilingi milioni (1,000,000).
IMG_0331 

 IMG_0329 

 IMG_0348 
 IMG_0349 

 IMG_0322 

 IMG_0345 

 IMG_0341 

 IMG_0339 

 IMG_0292 

 IMG_0301 


 IMG_0377 

 IMG_0324 

 IMG_0382 

 IMG_0320
 Chanzo: Shaffihdauda.com

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE