Masanja akimvisha pete mke wake.
Gari la maharusi likiwasili kanisani.
Dk. Tulia Ackson naye alikuwepo.
Ndoa hiyo imefungwa katika Kanisa la Mito ya Baraka lililopo Jangwani jijini Dar es Salaam.
Miongoni mwa wageni waliohudhuria harusi huyo ni pamoja na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Dk. Tulia Ackson
0 MAONI YAKO:
Post a Comment