Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (Professa Maji marefu)
ametishia kujiuzulu ubunge endapo ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami
kutoka Soni Jimbo la Bumbuli hadi Korogwe utaendeshwa kinyume na
maelekezo ya Ilani ya uchaguzi ya CCM.
Toa maoni yako
Toa maoni yako
0 MAONI YAKO:
Post a Comment