August 11, 2016


Leo August 11zimesambaa habari  katika mitandao ya kijamii kwamba  nahodha wa timu ya Simba Musa Hassan Mgosi kuripotiwa kutangaza kustafu kucheza soka na kuwa meneja wa timu hiyo,

kaamua kuandika, lakini ukweli mimi sijasema kama jambo hilo lipo basi lazima kutakuwa kuna utaratibu fulani wa heshima wa kustaafu mimi ni mchezaji mkubwa katika  soka la Tanzania na ikifika wakati naweza kuandaa press”

                            

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE