September 12, 2016

 

Tamasha la Fiesta 2016 linaendelea kuwafikia watanzania katika miji na majiji yaliyopangwa kufika kwa msimu huu. Usiku wa jana 11 sept kuamkia 12 september wakazi wa Singida waliweza kuitumia vema fursa hii inayopatikana mara moja kwa mwaka kwa kuweza kushuhudia bonge la show kutoka kwa wasanii mbalimbali. 

Tazama kipande kidogo cha Video


 
Kutoka T H T anaitwa nandy akiwapa wana Singida haki yao 
  
Anaitwa Bonge la Nyau

 
Darassa akiwa Darasani kuwapa Darassa wana wa Singida 
 
Wazungu nao wakapagawa kabisaaa
  
Farid Kibanda kwenye Stage
  
Snura naye alichukua nafasi yake
 
Ben Pol akiwatumbuiza jirani zake wa Singida

 
Mahaba niuwe Maua Sama akikamua kindakindaki jukwaani
  
Chizi Jukwaani ndiyo kapewa nafasi yake sasa, anaitwa Shishi Baby
 
Nuh Mziwanda saluti kwako kaka 



Huyu jamaa ni kawaida yake kuwakalisha. Mr Blue Bayser

Wiki hii unafikili ni zamu ya mkoa gani?? Endelea kufwatilia hapa hapa tutakupa habari na endelea kusikiliza Clouds Fm kwa habari zote za Fiesta

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE