September 02, 2016

 
 ELIZABETH Asenga (40),mkazi wa jijini Dar es Salaam amepandoshwa kortini leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za Kutumuita Rais John Magufuli 'Kilaza'
Akisoma Mashtaka hayo Leonard Chalu Wakili wa Serikali Mbele ya Huruma Shahidi alidai kuwa mtuhumiwa Huyo alifanya kosa la matumizi mabaya ya Mtandao.

Chalu alidai kuwa mtuhumiwa aliandika kwenye mtandao wa what's app kuwa '
Good Morn humu , Nakuja Rais kilaza kama huyo wetu ,angalia anampa Lissu umashahuli fala lile, Picha yake ukiweka Ofisini nuksi tupu ukiamka asubuhi ukikutana na picha yake kwanza siku inakuwa inamkosi mwanza mwisho,

Mshitakiwa amekana mashtaka  yake upelelezi wa shauri letu haujakamilika .
Mtuhumiwa amepewa dhamana yenye mashart yabwadhamini wawili kila mmoja asaini hati ya Sh.3 millioni. Shauri hilo litatajwa tena tarehe 22

Related Posts:

  • Gari la kikosi cha Zimamoto limevunjwa vioo   Picha hii siyo halisi ya tukio   Jeshi la Polisi mjini Tunduma mkoani Mbeya limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya vijana waliofunga barabara. Akiongea na East Africa Radio kwa njia ya simu Kaman… Read More
  • Umeipata hii ya majaji 3 kufutwa kazi kwa kutazama video za ngonoMajaji watatu wamefutwMajaji watatu wamefutwa kazi kwa kutumia muda wao afisini kutizama filamu za ngono. Jaji Timothy Bowles anayesikiza kesi za wilaya , jaji wa maswala ya uhamiaji Warren Grant na jaji Peter Bullock wamefut… Read More
  • Fid Q, K-sha wapata tuzo zaheshima za EU    Kutoka kulia ni baadhi ya Watanzania waliotunukiwa Tuzo ya Heshima na Umoja wa Ulaya nchini EU, kutokana na mchango wao katika kuliletea taifa maendeleo.   Umoja wa Ulaya nchini umewatunuku tuzo za hes… Read More
  • Makamu wa rais wa afutwa kazi    Rais wa Sierra Leone Ernest Bai Koroma amemfuta kazi makamu wa rais kwa kutafuta hifadhi katika ubalozi wa kigeni nchini humo.Siku ya jumamosi ,Samuel Sam Sumana amesema kuwa alimtaka balozi wa Marekani kump… Read More
  • Makinda: Zitto Kabwe ni mbunge halali   Spika wa Bunge Mh Anne Makinda amesema kuwa kwa niaba ya Bunge bado anamtambua mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe kuwa ni mbunge halali wa bunge hilo. Akizungumza nje ya ukumbi wa bunge mara baada ya kikao… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE