Kikosi cha uokozi nchini Afrika Kusini,
kimeendelea na shughuli za kuwaokoa wachimba madini waliokwama katika
mgodi wa Langlaagte kwa siku kadhaa sasa.
Idara ya matukio yasiyotarajiwa nchini Afrika Kusini imesema
kuwa, wafanyakazi wake wa operesheni za uokozi wanaendelea na juhudi za
kuwatafuta wachimba madini haramu ambao tangu siku ya Jumatano iliyopita
wamekwama katika njia za chini ya ardhi katika mgodi uliofungwa
mjini Johannesburg.
TUFUATE TARATIBU ILI KUDUMISHA AMANI YETU- MALECHA
-
Na Mwandishi wetu, Dar
Khalid Malecha, Mkazi wa Kitonga Jijini Dar Es Salaam, ameeleza kuwa maelfu
ya wananchi waliathirika moja kwa moja na ghasia na m...
1 hour ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment