Katika maadhimisho ya miaka 3 tangu kuanzishwa kwake, kile kiota cha burudani mkoani Morogoro cha Samaki Spot pale Kihonda Bima, kimedhamilia kutoa bonge la Burudani kwa wateja waki walioonesha moyo wa kuwa nao pamoja kwa muda wote. Tukio hilo kubwa la aina yake , litafanyika siku ya Jumapili 13 November 2016 palepale Samaki samakini . Burudani sasa itadondoshwa na mkali wa Singeli Tanzania wakuitwa Man Fongo huku likipigwa Live Band kutoka kwa Waluguru Original. Utaanzaje kukosa?? Kwa upande wa Ma dj, yule DJ Mkongwe na ndiyo dj bora wa mika yote Afrika Mashariki DJ JD, atakinukisha kwenye zile mashine zake huku akiwa sambamba na DJ bora mkoani Morogoro DJ Jimmy wakikuhakikishia kila kitu kipo sawa. Mwambie na mwanzio
VIJANA WA UVCCM MKOA WA SHINYANGA WATAKIWA KUIMARISHA UMOJA NA USHIRIKIANO
ILI KUJENGA CHAMA IMARA
-
*Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Shinyanga, Benard Werema akiwa katika picha ya
pamoja na vijana wenzake*
*Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Mabala Mlolwa...
10 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment