November 12, 2016


MTWARA: Askari Polisi aliyejulikana kama PC Sengerama, adaiwa kujiua kwa kujipiga risasi kifuani. Yadaiwa kuna matatizo yalimsibu.

Mwili wake uko njiani unasafirishwa kupelekwa nyumbani kwao mkoani Mwanza kwa ajili ya maziko

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE