Kutoka nchini Rwanda mwana dada Butera Knowless mkali wa sauti, ametuletea wimbo wake mpya unaitwa Ujya Unkumbura? Butera ametamba na nyimbo kama, Tulia, peke yangu alizoimba kwa lugha ya kiswahili, amekupa zawadi hii maalum kwako mtu wake , shabiki wake na mdau wake.
February 11, 2017
6:43 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
Wakazi Chamwino wahofu kuzaliwa mtoto wa ajabu. Hofu imezuka kwa wakazi wa kijiji cha Manchali, wilayani Chamwino mkoani Dodoma baada ya mama mmoja aliyetambulika kwa jina la Joyce Elias kujifungua mtoto wa ajabu akiwa na uzito usio wa kawaida wa kilo 4 na gra… Read More
Taarifa Rasmi Ya TAKUKURU Kuhusu Kumfikisha Mahakamani Mbunge wa Sumve, Richard Mganga Ndassa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) leo tarehe 1/4/2016 imemfikisha Mahakamani Mheshimiwa Richard Mganga Ndassa Mbunge wa Sumve ambaye pia ni mjumbe wa Kamati ya Mtaji na Uwekezaji kwa kosa la… Read More
Huu ndiyo mshahara anaolipwa Rais Magufuli Baada ya baadhi ya Wabunge wa vyama vya upinzani Tanzania kumtaka Rais Magufuli kuanika hadharani mshahara wake pamoja na makato ya kodi, President Magufuli am… Read More
Makonda atangaza neema kwa waendesha bodaboda MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametangaza neema kwa waendesha bodaboda katika jiji la Dar es Salaam kwa kuwadhamini pikipiki kutoka kwa kampuni zinazofanya biashara hiyo. Hayo ameyasema leo jijini Dar es… Read More
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi Ya April 2, 2016 Mpendwa mwana familia wa ubalozini.blogspot.com. Karibu tena katika magazeti ya leo Jumamosi April 02, 2016. Makubwa yaliyoandikwa katika magazeti hayo ni haya hapa … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment