February 12, 2017


 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli amewataka watanzania kuwaunga mkono viongozi wanaopambana na matumizi na biashara ya madawa wa kulevya. Ametoa kauli hiyo Jumapili hii wakati wa kuapishwa kwa Kamishna mkuu wa mamlaka ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya, Rogers William Siyanga.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE