Anaitwa Elisha James, amekuletea wimbo wake mpya unaitwa Natembea naye. Katika wimbo huu Elisha amewashirikisha wakongwe katika hizi kazi Producer Dunga na Nurueli. Wimbo umefanywa na producer daz naledge akishirikiana na Dunga Ambrose na Cjamoker Oscar kwenye mixing na mastering chini ya usimamizi wa PROPER ENTERTAINMENT.
MIIKO YA MAHAKAMA :MSINGI WA HAKI NA USAWA KATIKA HABARI
-
Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole Gabriel
*Na Dotto Kwilasa, Dodoma*
Katika kuhakikisha jamii inapata taarifa zilizo sahihi na z...
11 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment