Mwana Dada Agatha Mbale kutoka mkoani Morogoro, kwa mara ya kwanza kabisa anatupa karata yake ya muziki kwa upande wa hip Hop. Anakuwa miungoni mwa wasanii wachache sana wa kike kutoka Morogoro. Hapa anatukutanisha na wimbo wake mpya na ni wa kwanza kabisa unaitwa Shujaa. Wimbo umefanywa na Producer Material katika studio sa Star Records
April 29, 2017
10:23 PM
Machaku
No comments
Related Posts:
Jamaa ashinda milioni 760 kwa mkeka mmoja. Jamaa mmoja nchini Kenya sikukuu ya Christmas imemjia vizuri baada ya kushinda na mkeka wake kwenye kampuni ya Sport Pesa. Jamaa mwenyewe jina lake ni Peter Byegon ni mfanyakazi wa hotel moja huko Nairobi ameshinda… Read More
Wasanii wa Tanzania wazinduliwa mfumo mpya Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura mapema leo 20 Desemba 2016 amezindua mpango maalum wa mchango wa Sanaa Kiuchimi unaotarajiwa kuongezeka kupitia mauzo ya kieletroniki mtanda… Read More
Timu ya wasafi kesho watakuwa Mlimani City, Vodacom Tanzania @VodacomTanzania 6m6 minutes agoView translation Kesho WCB watakua viwanja vya Mlimani City katika banda la maonesho ya bidhaa za Vodacom, karibu ununue tiketi na kupiga Selfie na WCB!… Read More
Saida Karoli Anavyoibadili Bongo Fleva Makala: Andrew Carlos | Gazeti la Risasi Mchanganyiko, Toleo la Desemba 21, 2016 KWA miaka kadhaa sasa, maoni ya mashabiki wengi wa Muziki wa Kizazi Kipya ilikuwa ni kuingiza aina ya staili ya… Read More
Sakata la kupotea kwa Saanane,Jeshi la Polisi lai gilia kati Ikiwa zimepita siku kadhaa, baada ya Msaidizi wa Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Benard Saanane (pichani) kupotea, Jeshi la Polisi limesema linachunguza taarifa za kupote… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment