Mwana Dada Agatha Mbale kutoka mkoani Morogoro, kwa mara ya kwanza kabisa anatupa karata yake ya muziki kwa upande wa hip Hop. Anakuwa miungoni mwa wasanii wachache sana wa kike kutoka Morogoro. Hapa anatukutanisha na wimbo wake mpya na ni wa kwanza kabisa unaitwa Shujaa. Wimbo umefanywa na Producer Material katika studio sa Star Records
ENGINEER JAMES JUMBE HONORS HIS PROMISE AFTER STAND UNITED FC DEFEATS
MTIBWA SUGAR 1-0
-
Stand United FC celebrated a well-earned victory today, defeating Mtibwa
Sugar FC 1-0 in a thrilling match at CCM Kambarage Stadium in Shinyanga.
Followin...
3 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment