Mwana Dada Agatha Mbale kutoka mkoani Morogoro, kwa mara ya kwanza kabisa anatupa karata yake ya muziki kwa upande wa hip Hop. Anakuwa miungoni mwa wasanii wachache sana wa kike kutoka Morogoro. Hapa anatukutanisha na wimbo wake mpya na ni wa kwanza kabisa unaitwa Shujaa. Wimbo umefanywa na Producer Material katika studio sa Star Records
ASKOFU MTEULE WA KKKT DAYOSISI YA MWANGA DKT. MONO APOKELEWA KWA SHANGWE
KUBWA SHINYANGA
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry
Na Isaac Masengwa
*******************
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga mkoani Kiliman...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment