Mwana Dada Agatha Mbale kutoka mkoani Morogoro, kwa mara ya kwanza kabisa anatupa karata yake ya muziki kwa upande wa hip Hop. Anakuwa miungoni mwa wasanii wachache sana wa kike kutoka Morogoro. Hapa anatukutanisha na wimbo wake mpya na ni wa kwanza kabisa unaitwa Shujaa. Wimbo umefanywa na Producer Material katika studio sa Star Records
April 29, 2017
10:23 PM
Machaku
No comments
Related Posts:
Miaka 25 jela kwa kiongozi wa Muslim Brotherhood nchini Misri Mahakama moja nchini Misri yatoa hukumu ya miaka 25 gerezani kwa kiongozi mkuu wa chama cha Muslim Brotherhood siku ya Jumatatu . Wakati huo huo pia mahakama hiyo ilitoa hukumu sawia kwa viongozi wengine wawili wa… Read More
Mtoto Mussa Mhina azikwa Tanga Waombolezaji wakisindikiza mwili wa mwanafunzi Mussa Mhina (14) ambae ni mkazi wa Handeni aliyefariki juzi kwenye ajali ya gari wilayani Karatu mkoani Arusha,wananchi wengi wamejitokeza kwenye maziko hayo licha ya kuwe… Read More
Viongozi wakuu wa Uturuki wakutana na rais Trump Ujumbe wa viongozi wa Uturuki wakutana na rais Donald Trump kwa muda mfupi Ujumbe wa viongozi wakuu wanaoongozwa na jenerali mkuu wa jeshi la Uturuki Hulusi Akar ulikutana na rais wa Marekani kwa muda mfupi Jumat… Read More
Fahamu kuhusu ujio wa SportPesa Tanzania Waswahili husema Leo ndio leo na asie na mwana aeleke jiwe. Siku muhimu kabisa iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wana familia wa soka nchini hatimae imewadia. Kampuni mpya ya kubashiri michezo … Read More
Hawa ndiyo wasanii wanaoingiza pesa nyingi Afrika Jarida la Forbes Africa la mwezi May 2017 limeandaa list ya wasanii 10 wanaoingiza pesa nyingi zaidi Africa. List hiyo ambayo inaongozwa na msanii wa Nigeria, Akon na nafasi ya pili ikichuku… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment